top of page
vlcsnap-2023-01-09-12h18m25s909.png

Kanisa lilifanya Ibada Tarehe 19 Shebati, 1 (Majira Halisi) Ibada ilihudhiriwa na wenyeji wa Mkoa wa Njombe pamoja na Uzao wa Kanisa Halisi Mkoa wa Arusha, Dar es salaam, Morogoro, Pwani na Kagera. Ibada hiyo iliongozwa na BABA HALISI lakini pia ilihudhuriwa na Mnara Mmoja Halisi na  Watekeleza Sauti wa mikoa mbali mbali

Mgeni Rasmi alikuwa ni ; Emmanuel George ambaye ni Katibu Tawala - Wilaya ya Njombe akiwa ameambatana na viongozi wengine. 

vlcsnap-2023-01-09-12h09m17s628.png

BABA HALISI aliwashukuru wananchi wa Mkoa wa Njombe, Iringa, Mbeya, Songwe na Songea kwa kuupigia Kura Wimbo wa Kanisa Halisi Kupitia Radio ya Kings Fm ambao ulishika nafasi ya kwanza kati ya nyimbo zote za nyanda ya juu za Kusini.

Lakini pia shukrani hizo ziliambatana na shukrani maalumu (maombi) ya

kuufuta ugoniwa wa Ukimwi ulioleta athari katika Mkoa wa Niombe kutokana na taarifa za Takwimu za Jamii. â€‹Na kwa kuwa aliyeshukuru ni CHANZO HALISI alijibu saa hiyo hiyo;

vlcsnap-2023-01-09-12h20m22s032.png

baada ya dada mmoja ambaye hakuwepo kwenye ibada hiyo lakini kwasababu

aliamini kwamba ugonjwa huo umefutwa na CHANZO HALISI ndani ya

Mkoa wake, alienda kupima na kupokea majibu ya negative (ikiwa na

maana ugonjwa ule ulifutika saa ile ile kwa nguvu ya Sauti Halisi Ya

Muumba Wa Kila Kitu Kizuri.

Kuhusu sisi

Kanisa Halisi la MUUMBA, linapatikana katika Mikoa yote ya Taifa la Tanzania na katika mataifa yote ya jirani

(Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Burundi, Congo, Msumbiji na Zambia)

Mawasiliano

Simu: +255 (0) 719 341 327

​

S.L.P 33070 DSM (TZ)

 

kanisahalisi@gmail.com

​

Kao Kuu ni Dar es salaam,Tegeta Namanga; Plot Na. 195

Jiandikishe 

Umebarikiwa Mno na CHANZO HALISI !

  • Youtube
  • Instagram
  • TikTok

Majira Halisi © 2025 Ofisi ya Mawasiliano - Kanisa Halisi la MUUMBA.

bottom of page